+255 22 2772401/96

info@etdco.co.tz

21 Ursino Estate , Mwai Kibaki Road

Mwai Kibaki Road, Kinondoni, Dar es Salaam, Tanzania

ETDCO yachangia mifuko 100 ya saruji

Kampuni ya ETDCO yachangia mifuko 100 ya saruji kwenye ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Nyamikoma (Maarufu kama PIDA), wilayani Butiama, mkoa wa Mara. Tukio hilo lilifanyika tarehe 14/09/2023 kwenye eneo la mradi. Pichani chini, Meneja wa TEHAMA na Uendelezaji Biashara wa ETDCO ndugu Dudu Fuime, akikabidhi stakabadhi ya ununuzi wa saruji hiyo kwa diwani wa kata ya Kyanyari ndugu Mgingi Mhochi Itagata.

Read More

MAFANIKIO YA ETDCO TOKEA KUANZISHWA KWAKE

ETDCO YAJIVUNIA MIAKA 60 YA UHURU KWA KUWA KAMPUNI INAYOINGIZA FAIDA KILA MWAKA, PAMOJA NA KUTEKELEZA MIRADI 74 YENYE THAMANI YA BILIONI 156.03

Read More

UZINDUZI WA MRADI WA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI (REA) - MBEYA

WAFANYAKAZI WA ETDCO WAKIWA KWENYE UZINDUZI WA MRADI WA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI (REA) AWAMU YA TATU MZUNGUKO WA PILI MKOA WA MBEYA

Read More